Según los datos de la policía regional de la ciudad de Mbeya, un camión se empotró a alta velocidad en uno de los microbúses que cayó en una zanja, y luego chocó contra otros dos.
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinaungana na Watanzania kutuma salamu za pole kwa familia, ndugu na jamaa za waliopoteza maisha katika ajali iliyotokea Julai 1 huko Mbeya.
— LHRC (@humanrightstz) 1 июля 2018 г.
Tunawapa pole na kuwaombea majeruhi waweze kupata ahueni mapema. pic.twitter.com/sYQ3IFyQQJ
"Después de que dos microbúses se volcaran, el camión se desvió de su ruta y cayó en el canal", dijo el jefe de la policía, Musa Taibu.
Taarifa kutoka kwa Kamanda wa Polisi Mkoani Mbeya Mussa Taibu inasema kuwa Watu 20 wakiwamo wanaume 10 na wanawake 10 wamepoteza maisha katika ajali ya gari ambayo imetokea July 01 saa sita mchana katika eneo la Mlima Iwimbi Mkoani Mbeya huku watu 48 wakijeruhiwa. #NiBusu! pic.twitter.com/y5ExqUYIJZ
— Kings FM Radio (@KingsFMRadio) 1 июля 2018 г.
Señaló que el conductor del camión huyó del lugar de los hechos y la policía lo está buscando.